Ama kwa usafiri wa baharini (majini) zaidi ya ule wa anga maana meli zetu zote ni za kisasa, yaani na maanisha zile za abiria na pia zile za mizigo, pia hua tunaisoma bahari kabla kufanya sfari zetu mbalimbali kama vile kutoka Tanzania hadi India, India hadi Madagaska kwa zile za abiria, lakini kwa ile ya mizigo takriban huzunguka dunia yote ili kupakia na kupakua yaani kushusha mizigo ya wateja wetu
sisi tupo kimataifa zaidi

No comments:
Post a Comment